27 Feb 2015 AJALI YA GARI: WATATU WANUSURIKA KUFA KWA AJALI MWANZA
Kwa mujibu wa mashuhuda, gari hilo lenye usajili wa T 358 CBA mali ya Machalo Joseph, lilikuwa likiendeshwa na Festo Kakula wa Misungwi, na baada ya ajali majeruhi walikimbizwa katika hospitali ya Mitindo wilayani Misungwi.
CREDITS GPL
No comments