Home
/
Unlabelled
/
04 Mar 2015 MAMA AWATOROKA WATOTO WAKE NA KWENDA KUOLEWA UPYA NA MWANAUME MWINGINE
04 Mar 2015 MAMA AWATOROKA WATOTO WAKE NA KWENDA KUOLEWA UPYA NA MWANAUME MWINGINE
Kwenye Hekaheka ya leo inatokea Dar, inahusu mwanamke ambaye majirani wanasema ameenda kuolewa Zanzibar na kuwaacha watoto wake watatu, kati yao mkubwa ana umri wa miaka 6 na ndiye aliyeachiwa jukumu la kuwaangalia wadogo zake.
Majirani wamesema kitendo alichofanya mwanamke huyo cha kuwatelekeza watoto hao sio kizuri kwani watoto hao hawana hali nzuri na mtoto mdogo mmoja ambaye ana umri wa mwaka mmoja sio nzuri na anaumwa yuko Hospitali ya Muhimbili akipatiwa matibabu kutokana na afya yake kudhoofika kwa sababu ya kukosa lishe.
Mtoto huyo wa miaka sita amesema mama yao aliondoka akiwaaga kwamba anakwenda kwa bibi yao lakini.
Bonyeza hapa chini ili kusikiliza stori yote…
http://hu.lk/c4z5s41gbta8
04 Mar 2015 MAMA AWATOROKA WATOTO WAKE NA KWENDA KUOLEWA UPYA NA MWANAUME MWINGINE
Reviewed by Unknown
on
March 04, 2015
Rating: 5
No comments